TYLOR SWIFTY ASHIKA NAMBA MOJA KWA KUINGIZA MKWANJA.



Kwa mujibu Forbes, Taylor Swift ndiye mwanamuziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka huu. Amewapiga bao wanaume wote wanaofanya muziki duniani.
taylor-swift-presenting-jpg
Katika kipindi cha June 1, 2015 hadi June 1, 2016 — Swift ameingiza takriban dola milioni 170. Fedha nyingine ilipatikana kutokana na ziara yake ya 1989 na matangazo mbalimbali.
Chini ni orodha nzima:
1.Taylor Swift – $170 million
2.One Direction – $110 million
3.Adele – $80.5 million
4.Madonna – $76.5 million
5.Rihanna – $75 million
6.Garth Brooks – $70 million
7.AC/DC – $67.5 million
8.Rolling Stones – $66.5 million
9Calvin Harris – $63 million
10.Diddy – $62 million

Hakuna maoni