TYLOR SWIFTY ASHIKA NAMBA MOJA KWA KUINGIZA MKWANJA.
Kwa mujibu Forbes, Taylor Swift ndiye mwanamuziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka huu. Amewapiga bao wanaume wote wanaofanya muziki duniani.

Katika kipindi cha June 1, 2015 hadi June 1, 2016 — Swift ameingiza takriban dola milioni 170. Fedha nyingine ilipatikana kutokana na ziara yake ya 1989 na matangazo mbalimbali.
Chini ni orodha nzima:
1.Taylor Swift – $170 million
2.One Direction – $110 million
3.Adele – $80.5 million
4.Madonna – $76.5 million
5.Rihanna – $75 million
6.Garth Brooks – $70 million
7.AC/DC – $67.5 million
8.Rolling Stones – $66.5 million
9Calvin Harris – $63 million
10.Diddy – $62 million
Post a Comment